Download

FORM SEC GIRLS

FORM SEC BOYS

PRIMARY- DAY

PRIMARY- BOARDING

PRE- FORM ONE

Answers

Frequently Asked Questions

Mtoto anapokelewa kuanzia umri wa:

  • NURSERY miaka mitatu (3)
  • PRIMARY miaka saba (7)

Ada hulipwa kwa awamu nne (4) kwa SECONDARY na awamu tatu (2) kwa NURSERY na PRIMARY Malipo yote hufanywa kupitia benki kwa akaunti namba utakazozipata kwenye fomu ya kujiunga.

Tuna Bweni kwa NURSERY na PRIMARY tu, SECONDARY ni bweni wote

Tunatoa huduma ya usafiri kwa watoto wa kutwa kuwachukua asubuhi na kuwarudisha muda wa masomo ukiisha